Wakati mwingine plate namba haiakisi hali ya ubora wa chombo bali matunzo. Hii pikipiki sikua na wazo la kuuza. Ni vile tu kuna mambo kadhaa yamenibana. Sipati faida kwa kuuza 950,000 Maana nimeifanyia maintanance vizuri. Vitu vingi ni vipya mfano Seat, Mashavu, piston, break ya mbele, mkono wa kushoto. Kiufupi ninaitunza.namba A kula laki tatu mkuu
Unamatatizo afu watu wanataka kutumia matatizo kukunyonya....hv kweli pkpk uizwe laki 4 kweliMkuu msemo una maana gani?
Mkuu weka mawasiliano, lakini pia shuka kidogo. Ukifikia 800k nitonye nikufanyie muamala ASAPHapo kweli kabisa, nimeelewa sasa.
Dili likitiki, utukumbuke katika ufalme wakoAhsante mkuu, ngoja nijaribu kushare na watu wengine out of jf naona chombo bado ipo katika hali nzuri tu na price yake ni affordable
AGQ laki Tisa,?Habari,
Pikipiki aina ya Boxer 150cc Inauzwa.
Condition: Used
Mahali: Kigamboni
Bei: 950,000
Documents zipo.
Kwa kijana anaeanza maisha itamfaa kwa bodaboda. Kama atakua na uwezo wa kuweka akiba ya Tshs 10,000 kwa siku, basi utakua takribani miezi 3 (payback period) mtaji wake kurudi.
Mawasiliano: 0674320606
Karibuni
View attachment 1758986
View attachment 1758987
View attachment 1758989
MIX-OLOGIST!!Nusu laki