Pikipiki ya kuchaji inauzwa

Pikipiki ya kuchaji inauzwa

Maulid jnr

Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
66
Reaction score
60
Habari ndugu, nauza pikipiki ya kuchaji aina ya linkall . Bado iko imara bei 550k (maingezi yapo) nicheki kwa 0783150130 chapu uchukue mali
 

Attachments

  • E983FC85-0239-44F9-9796-0903CF727E5F.jpeg
    E983FC85-0239-44F9-9796-0903CF727E5F.jpeg
    3.1 MB · Views: 65
  • CFCA1C43-1242-46E3-B8F3-8FE0D383E4C5.jpeg
    CFCA1C43-1242-46E3-B8F3-8FE0D383E4C5.jpeg
    2.6 MB · Views: 60
  • C75010D9-579E-4B0C-A637-7843CCD97343.jpeg
    C75010D9-579E-4B0C-A637-7843CCD97343.jpeg
    2.8 MB · Views: 53
  • 4609E6F3-ACF9-486F-A7D2-C5BDAB0016F9.jpeg
    4609E6F3-ACF9-486F-A7D2-C5BDAB0016F9.jpeg
    2.6 MB · Views: 64
mi natafuta punda mkuu hakuna aneuza punda huko niko dsm nataka punda 2
 
chaji yake masaa mangapi?sitaki jibu kulingana na safari yako.
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Hata kuiosha mkuu? Au ni ya jirani yako unasubiri itumwe pesa ndio iwe yako kizambuli
 
Habari ndugu, nauza pikipiki ya kuchaji aina ya linkall . Bado iko imara bei 550k (maingezi yapo) nicheki kwa 0783150130 chapu uchukue mal
⚠️ANGALIZO⚠️
kama utakuwa umeipenda piki piki hakikisha mnunuzi anakubadilishia battery anakuwekea jipya

Piki piki za kuchaji shida huwa ni battery kuishiwa uwezo so kama mnunuzi mtajarajiwa nimeshakupa warning ....utapewa piki piki ina weza kutembea kutoka chumbani kwako hadi chooni kwako battery limeisha

Cheza sana na life ya battery ikibid akupe mpya
 
⚠️ANGALIZO⚠️
kama utakuwa umeipenda piki piki hakikisha mnunuzi anakubadilishia battery anakuwekea jipya

Piki piki za kuchaji shida huwa ni battery kuishiwa uwezo so kama mnunuzi mtajarajiwa nimeshakupa warning ....utapewa piki piki ina weza kutembea kutoka chumbani kwako hadi chooni kwako battery limeisha

Cheza sana na life ya battery ikibid akupe mpya
Hivi hizi battery zake Huwa hazina ukubwa sahihi in terms of N or Ah..?
 
Battery pack yake zinakaa batteries ngapi na kila battery shilingi ngapi?
 
Back
Top Bottom