Maulid jnr
Member
- Mar 25, 2021
- 66
- 60
Habari ndugu, nauza pikipiki ya kuchaji aina ya linkall . Bado iko imara bei 550k (maingezi yapo) nicheki kwa 0783150130 chapu uchukue mali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
⚠️ANGALIZO⚠️Habari ndugu, nauza pikipiki ya kuchaji aina ya linkall . Bado iko imara bei 550k (maingezi yapo) nicheki kwa 0783150130 chapu uchukue mal
Hivi hizi battery zake Huwa hazina ukubwa sahihi in terms of N or Ah..?⚠️ANGALIZO⚠️
kama utakuwa umeipenda piki piki hakikisha mnunuzi anakubadilishia battery anakuwekea jipya
Piki piki za kuchaji shida huwa ni battery kuishiwa uwezo so kama mnunuzi mtajarajiwa nimeshakupa warning ....utapewa piki piki ina weza kutembea kutoka chumbani kwako hadi chooni kwako battery limeisha
Cheza sana na life ya battery ikibid akupe mpya
Mafundi wapo na spare zipo kibao kariakooHizi zina mafundi na spare kweli?