Pikipiki ya sh 500,000/= nayo ni pikipiki?

Pikipiki used kupata ambayo haitaleta usumbufu ni kubahatisha tu, nyingi used kibongo bongo zinakuwa na tatizo mmiliki anaamua kuiuza. Kama ukiwa tayar kununua pikipiki used kuwa tayari kununua injini mpya, matairi mapya, na pia kucheki kama wiring ipo vizuri ili usijutie.
 
Probably hazita faa, pikipiki nyingi bei rahisi ni aina ya vespa ambazo zimetengenezwa kutumika barabara za lami zisizo na mashimo.

Tafuta model husika fanyia utafiti.
 
Mkuu, 200k?πŸ˜ƒ
Hiyo nimeipendaπŸ’ͺ
Ulitumia sh ngapi kwa matengenezo?
 
πŸ™πŸ™πŸ™
 
Probably hazita faa, pikipiki nyingi bei rahisi ni aina ya vespa ambazo zimetengenezwa kutumika barabara za lami zisizo na mashimo.

Tafuta model husika fanyia utafiti.
πŸ™πŸ™πŸ™
 
πŸ™πŸ™πŸ™
 
Pikipiki za Polisi hizo. Ukiwa mjanja sio mpaka uje Dar. We hukohuko unakokaa zunguka vituo vya Polisi utapata pikipiki hadi kwa laki moja. Hiyo ya laki moja inatengenezwa kwa laki mbili ndo inauzwa laki tano.
 
Habari kiongozi, mimi nahitaji pikipiki za laki 5, naweza kuzipataje, msaada wako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…