Pikipiki yangu silielewi, asubuhi nikiiwasha haiwaki

Pikipiki yangu silielewi, asubuhi nikiiwasha haiwaki

kwenda21

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
3,423
Reaction score
3,414
Jamani mimi ninapikipiki ila imeanza tatizo ambalo silielewi asubuhi nikiiwasha haiwaki tena ukilazimisha hadi betri linakuwa kama limeisha nguvu, ila ukiiicha kwa mda wa dk kama 25 ukiwasha inakubali, na Pikipiki hii haina kiki, unawasha kama Range Rover (gari).
 
Back
Top Bottom