brainstorm007
Member
- Feb 11, 2022
- 51
- 53
Ndio bossZote bei moja? [emoji3]
Hujamuelewa huyo MbiseNdio boss
Ningeuzaje kama cna ww njoo ununue utapewa kila kitu kama uko seriousUna uthibitisho wa umiliki ?
Asante kwa kunielewesha,Kama amemaaniisha hivo itabidi ajitafakari akili zake vizuri.Hujamuelewa huyo Mbise
Anauliza zote ni bei moja? Means mnapa toyo zote hizo sijui 4/5 kwa 2m 150
Njoo ujihakikishie kama ww ni mnunuaji bossZisije kuwa za wizi
Kila kitu,kuhusu kutoa wapi kazi yangu mimi nikuzitafuta mjini connection[emoji23]Zina usajili tayari!! Mmezitoa wapi
Hata gari ukitaka ntakutaftia ndani ya siku pesa yako tu.Zina usajili tayari!! Mmezitoa wapi
Ww hutaki kuachana nayo?Unataka uachane na laana
Dah nipesatu inanipiga chenga ningechukua hii laanZimenyooka kama unavyo ona kwenye picha
Bei ya kila moja ni 2,150,000/=
Maelewano call 0713579248
Zinapatikana Dar es Salaam
View attachment 2541641View attachment 2541642View attachment 2541643View attachment 2541644View attachment 2541646
Umechanganya mafaili.Ndiyo
Mbise Kitomari
Mwite Kisali MbiseNdiyo
Mbise Kitomari