Pikipiki za umeme kutoka China mpaka Dar es Salaam

Pikipiki za umeme kutoka China mpaka Dar es Salaam

Joined
May 31, 2022
Posts
28
Reaction score
19
Nataka kuagiza hzi pikipiki za umeme zinazotamba kwa sasa, kibongo bongo naskia zinatembea kwny 1.5m ila nimejaribu kuangalia huko China zinapotokea naona zinarange kwenye 260$ kupanda juu hadi 1000$ ambapo mimi nataka kucuhkua tu hapo 260$-350$ sasa wasiwasi wangu ni kuhusu hizo kampuni zenyewe sina uhakika nazo na sijui taratibu zozote kuhusu kuagiza vitu nje yaani nina ABC kidogo sana kiasi kwamba nahisi kutupa kisalio changu bure, by the way nataka kinisaidie kwenye baadhi ya shughuli zangu hapa mji wa Daudi, naomba anayejua chochote anisaidie kuhusu haya mambo ya usafirishaji.

Hii ni hiyo kampuni ya China huko inayohusika

Screenshot_20240704-101413.png
 
Hizi wakuu
Unataka kutumia kampuni gani kuagiza?
Uliza wapo jimbo gani uko china?
Uliza CBM box wanazotumia kuweka pikipiki?
Uliza kuhusu spea za izo pikipiki apa bongo
Zingatia shipping agent wako awe official
 
Back
Top Bottom