Shs ngap??
Bei zake zinategemea na charging capacity),na speed km /hour jana kuna mwamba nkmeulizia kariakoo bei inaamzia 1M hadi ,1.4M, inategemea but hata mm nawaza sana kunjnua kwa ajili ya back up ya mara moja mojaHabari.
Naomba elimu kuhusu pikipiki za kuchaji [ za umeme].
Je, inatumia unit ngapi mpaka kuwa full charged?
Bei zake ni kiasi gani ikiwa mpya? Na zinapatikana wapi hasa kwa Kanda ya ziwa.
Uimara wake vip?
Nitashukuru sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Je zinafaa kwa bodaboda?
Zinafaa ila itabidi uwe na power bank.Je zinafaa kwa bodaboda?
Ndio zipo zinazofaa kwa boda boda Kuna jamaa wapo kigamboni wanauza hizo piki pikiZinafaa ila itabidi uwe na power bank.
Naomba contact zao mkuu, nimesikia Rwanda wanazitumia na hazina matengenezo makubwaNdio zipo zinazofaa kwa boda boda Kuna jamaa wapo kigamboni wanauza hizo piki piki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mrejesho tafadhariHabari.
Naomba elimu kuhusu pikipiki za kuchaji [ za umeme].
Je, inatumia unit ngapi mpaka kuwa full charged?
Bei zake ni kiasi gani ikiwa mpya? Na zinapatikana wapi hasa kwa Kanda ya ziwa.
Uimara wake vip?
Nitashukuru sana