Nimennua kwa mtu karibuni iko na muonekano mzuri,juz nikaijaribu kwenye milima ya kawaida tu ina feli aisee ad natumia moja pia ina kelel kama tapert zinagonga bado sijamuona fundi naomba mawazo 0764932021
Cheki oil, angalia hizo tapet unazohisi zinagonga. Ila kukosa nguvu inaweza pia kusababishwa na clutch plate kuisha, kama inatoa moshi unaoonekana? Mweupe au bluu? angalia pia rings. Ukifika kwa fundi atakupa ushauri zaidi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.