Noma sanaPilau la kitimoto acha kabisa
Hatari sanaHii mambo ya pilau bana n stori ingine.
Nakumbuka nlivokua bado kachalii kuna kasherehe tuliwahi alikwa na bimkubwa, nkakuta yale mambo ya kizungu mpaka tumaua tunaekwa juu ya kipunga.
Kudadadeki mlume ndago nna njaa takatifu nshalamba hadi colgate ili niufinye vizur, nilikula hadi tule tumaua nafkiri vya plastiki.
Sema uzuri umri ule tumbo ni kama greda .
Hiyo wiki nlikua nakunya rangi ya kitenge baada ya hapo nkarudi factory settings mpaka leo.
Mualiko n muhim wandugu
Au sioChatoooo
Hatari sanaEbanaeee
🤣🤣Tunakukumbusha tu ,tumebakiza siku 12.malipo ni apa apa duniani
Umesahau ndizi😂😂Nimesha jikoki na pili pili zangu mfukoni,wewe taja tu njoo sehemu flani,dakika 0 nitakua apo
Hahah hiyo nayo muhimu,na hivi tunavyojua kuufinya vizuri kwenye mkono,pilau haiitaji kijiko hiyoUmesahau ndizi😂😂
Au sio[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] Novida hapanaa, labda Pepsi.Hayo ndio maneno,usisahau na Pepsi ya baridi au novida,maji ya gold situmii
Wachaa wee.Tutamendea tu
EeeeWachaa wee.
Bas sawaahEeee