Mahitaji
Mchele kg 1
Kuku
Mayai 3-4 yaliyochemshwa
Nyanya 3 kubwa
Kitunguu thomu 1teaspoon
Tangawizi 1teaspoon
Chumvi kiasi
Bizari ya pilau 1teaspoon
Mdalasini wa unga 1teaspoon
Pilipili mboga 1 kubwa
Vitunguu maji 2 vikubwa
Pilipili manga 1/2 teaspoon
Ndimu 1
Hiliki 1/2 teaspoon
Mafuta ya kupikia
Kotmiri/giligilani...
Namna ya kutaarisha
1) Roweka mchele weka pembeni
2) Osha kuku weka chumvi,thomu,tangawizi ndimu na pilipili manga weka jikoni hadi iwive ya ikikaribia kukauka kaanga kaanga kwa hayo maji yake...
3) Kaanga vitunguu maji hadi viwe brown alafu weka pilipili mboga na nyanya na kotmiri/giigilani.
4) Weka kuku uliemtaarisha maji kiasi
5) Weka mchele na hakikisha unaoja chumvi ili kama ndogo uongeze..
6) Funika hadi ukauke maji
7) Weka mayai yako juu na uweke kwenye oven hadi ukuke vizuri...
Pilau ya nyanya tayari kwa kuliwa...
Mchele kg 1
Kuku
Mayai 3-4 yaliyochemshwa
Nyanya 3 kubwa
Kitunguu thomu 1teaspoon
Tangawizi 1teaspoon
Chumvi kiasi
Bizari ya pilau 1teaspoon
Mdalasini wa unga 1teaspoon
Pilipili mboga 1 kubwa
Vitunguu maji 2 vikubwa
Pilipili manga 1/2 teaspoon
Ndimu 1
Hiliki 1/2 teaspoon
Mafuta ya kupikia
Kotmiri/giligilani...
Namna ya kutaarisha
1) Roweka mchele weka pembeni
2) Osha kuku weka chumvi,thomu,tangawizi ndimu na pilipili manga weka jikoni hadi iwive ya ikikaribia kukauka kaanga kaanga kwa hayo maji yake...
3) Kaanga vitunguu maji hadi viwe brown alafu weka pilipili mboga na nyanya na kotmiri/giigilani.
4) Weka kuku uliemtaarisha maji kiasi
5) Weka mchele na hakikisha unaoja chumvi ili kama ndogo uongeze..
6) Funika hadi ukauke maji
7) Weka mayai yako juu na uweke kwenye oven hadi ukuke vizuri...
Pilau ya nyanya tayari kwa kuliwa...