Pilipili kichaa zinahitajika kwa wingi

Pilipili kichaa zinahitajika kwa wingi

jrmpya

Member
Joined
Dec 3, 2014
Posts
74
Reaction score
58
Habari za mchana huu wakuu,

Kama kichwa kinavyojieleza pilipili kichaa inahitajika kwa wingi Sana zaidi ya tani kumi na tano.

Kama wewe ni mkulima wa pilipili kichaa au unafahamu mahali zinapatikana, tafadhali msaada wako unahitajika hapa.

0742304314

Shukrani kwa mchango wako.

1610700789257.png
 
Habari za mchana huu wakuu,

Kama kichwa kinavyojieleza pilipili kichaa inahitajika kwa wingi Sana zaidi ya tani kumi na tano.

Kama wewe ni mkulima wa pilipili kichaa au unafahamu mahali zinapatikana, tafadhali msaada wako unahitajika hapa.

0742304314

Shukrani kwa mchango wako.
Nilime fasta fasta nini?
 
Habari za mchana huu wakuu,

Kama kichwa kinavyojieleza pilipili kichaa inahitajika kwa wingi Sana zaidi ya tani kumi na tano.

Kama wewe ni mkulima wa pilipili kichaa au unafahamu mahali zinapatikana, tafadhali msaada wako unahitajika hapa.

0742304314

Shukrani kwa mchango wako.
Mkuu bei yenu kwa kilo iko vipi?

NB:Nimeona namba ya simu lakini kabla ya kuwatafuta nahitaji kujua bei yenu, mzigo ninao wa kutosha na ntakua nao kwa miezi almost 4 mfululizo.
 
Habari za mchana huu wakuu,

Kama kichwa kinavyojieleza pilipili kichaa inahitajika kwa wingi Sana zaidi ya tani kumi na tano.

Kama wewe ni mkulima wa pilipili kichaa au unafahamu mahali zinapatikana, tafadhali msaada wako unahitajika hapa.

0742304314

Shukrani kwa mchango wako.


Kwa ajili ya kutengenezea tear gas.
 
Back
Top Bottom