na kwa wale wanaosema ni hatari kwa afyaje?
Kama una vidonda vya tumbo ndiyo huwa ni hatari tofauti na hapo pilipili ni dawa, inaongeza mzunguko wa damu, huongeza hamu ya kula, huondoa sumu mwilini na vile vile huongeza nguvu za kiume (waulize wahindi watakuambia).
Khaa iyo ni uongo had kungurvu xaxaAhahahaaaa...mwaka huu tutalishwa hadi vinyesi kisa nguvu zetu wanaume....
Na kunguru weusi wa zanzibar supu yao inaongeza nguvu za kiume balaaa...waulize wahindi watakuambia kule kwao wanavyoitumia...ni noumerrr.
habari zenu.
najua wengi mtakubaliana na mimi kwamba kiungo pilipili ni mojawapo ya vitu viletavyo hamu ya kula. lakini kuna wengine wanasema pilipili sio nzuri kwa afya, na wengine usema ni dawa, hata mimi naunga mkono kwamba ni dawa, kwani hutibu kwa wale wa Kigoma, wale funza wasiotibika, basi dawa yao ni pilipili. sasa je wewe unasemaje? pilipili ni dawa ama la?
na kwa wale wanaosema ni hatari kwa afyaje?
Ogopa plpl zinazoota kuelekea juu (ile sehemu ambapo ua hukatikia kuelekea upande wa jua) mfano ni zile plpl kichaa. Naishi na muhindi anasema wao wanakula plpl kwa afya na wanatumia plpl zinazoangalia chini!
embu muulize vizuri huyo mhindi basi, hizo zinazoangalia juu zinafanyaje?
embu muulize vizuri huyo mhindi basi, hizo zinazoangalia juu zinafanyaje?