Pilipili ni dawa?

Huyu jamaa ananifunza kupika beef ni noma, yani nusu kilo ya steki viungo km 10 hivi plpl inclusive. Kitunguu kama ngumi yani kizima kinaunga nusu kilo!

asante na hongera kwa kujua kupika beef, tumegee na sisi tufaidi basi.
 
asante na hongera kwa kujua kupika beef, tumegee na sisi tufaidi basi.

Dah kwani hata niliweza kula? Sina hata hamu mie yangu nyanya, mafuta chumvi na kitunguu kdg tu! Nikuunge nae ni professional chef
 
Kama una vidonda vya tumbo ndiyo huwa ni hatari tofauti na hapo pilipili ni dawa, inaongeza mzunguko wa damu, huongeza hamu ya kula, huondoa sumu mwilini na vile vile huongeza nguvu za kiume (waulize wahindi watakuambia).
pilipili inatibu vidonda vya tumbo,hasa zile ndefu,fanya research.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…