Pilipili tamu ajabu

Pilipili tamu ajabu

PakaJimmy

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2009
Posts
16,199
Reaction score
8,761
Kwa watu wa Dar, kuna lile eneo kubwa opposite na San Cirro, ambapo kuna groceries nyingi na parking za magari.

Pale ndani kuna kina kitimoto matata sana, lakini kinachonivutia mimi ni ile pilipili tamu ya aina yake ambayo binafsi sijapata kuionja mahala popote mikoa yote niliyozunguka.

Kwa huku Arusha hata hawana idea ya ninachoongelea, maana hakuna kitu ya aina ile.

Hakika sijui ile makitu spicy namna ile huwa inatengenezwaje!!
Naomba ajuaye anijuze ili Mama Naniliu aiandae siku moja!
 
Panaitwa uwanja wa sanaa mkuu au dagaa dagaa, wanachoma mdudu pale ni balaa.
 
Kwa watu wa Dar, kuna lile eneo kubwa opposite na San Cirro, ambapo kuna groceries nyingi na parking za magari.
Pale ndani kuna kina kiti-moto matata sana, lkn kinachonivutia mimi ni ile pilipili tamu ya aina yake ambayo binafsi sijapata kuionja mahala popote mikoa yote niliyozunguka.

Kwa huku Arusha hata hawana idea ya ninachoongelea, maana hakuna kitu ya aina ile.

Hakika sijui ile makitu spicy namna ile huwa inatengenezwaje!!
Naomba ajuaye anijuze ili Mama Naniliu aiandae siku moja!



he he he..........naona unaanza kupika pilipili.......good start tho..........
 
Pakajimy nielekeze vizuri hiyo kitu naipenda sana haro, na hasa kama ikikuta mtaalamu wa kutengeneza pilipili, elekeza mimi msuri ili jioni ya leo baada ya kumaliza kasi niendepo!!!!
 
San sirro ziko nyingi, ya Sinza? Mbagala? Chanika? Dondwe?
 
San sirro ziko nyingi, ya Sinza? Mbagala? Chanika? Dondwe?
Mkuu, unataka kusema zote zina Uwanja wa sanaa, zote jirani yake kunauzwa Noah?
Acha kujifanya hamnazo mkuu!
 
kweli pale chachandu si mchezo.Pakajimmy ukionjeshwa na za kiunoni c utahamia kabisa
 
Badala ya kumuelekeza mapishi ya pilipili mnaanza chit chat!

Haya mahitaji babaake:
ambia mama yeyoo, achukue pilipili mbuzi nzima nzima (sipendi kuzikatakata ili kila mtu ajitie wazimu mwenyewe), weka sufuriani pamoja na mafuta ya kupikia mengi kiasi. Kitunguu kilichokatwa in cubes, carrots, nyanya na vitunguu swaumu na tangawizi. Kamulia limao ama weka vinegar. Weka jikoni kwa muda wa kama dakika 20, then punguza moto. Ukiona viungo vinajitenga na mafuta ngoma mdundo.


Chachandu nyingine unasaga kwenye blende nyanya, pilipili mbuzi, kitunguu, saumu, karoti na maganda ya matango. Then chemsha na mafuta. Usisahau vinegar ama malimao.
 
Badala ya kumuelekeza mapishi ya pilipili mnaanza chit chat!

Haya mahitaji babaake:
ambia mama yeyoo, achukue pilipili mbuzi nzima nzima (sipendi kuzikatakata ili kila mtu ajitie wazimu mwenyewe), weka sufuriani pamoja na mafuta ya kupikia mengi kiasi. Kitunguu kilichokatwa in cubes, carrots, nyanya na vitunguu swaumu na tangawizi. Kamulia limao ama weka vinegar. Weka jikoni kwa muda wa kama dakika 20, then punguza moto. Ukiona viungo vinajitenga na mafuta ngoma mdundo.


Chachandu nyingine unasaga kwenye blende nyanya, pilipili mbuzi, kitunguu, saumu, karoti na maganda ya matango. Then chemsha na mafuta. Usisahau vinegar ama malimao.
Nauliza tu dadaKing'asti , hii chachandu inakaa siku ngapi bila kuharibika? halafu pilipili mbuzi mbivu au mbichi na ka sipendi limau naweza weka ndimu? Wabeja sana!
 
Kwa watu wa Dar, kuna lile eneo kubwa opposite na San Cirro, ambapo kuna groceries nyingi na parking za magari.
Pale ndani kuna kina kiti-moto matata sana, lkn kinachonivutia mimi ni ile pilipili tamu ya aina yake ambayo binafsi sijapata kuionja mahala popote mikoa yote niliyozunguka.

Kwa huku Arusha hata hawana idea ya ninachoongelea, maana hakuna kitu ya aina ile.

Hakika sijui ile makitu spicy namna ile huwa inatengenezwaje!!
Naomba ajuaye anijuze ili Mama Naniliu aiandae siku moja!

Shemeji utanipeleka nikaishuhudie hiyo pilipili tamu
 
Nimesema watu wa Arusha nyie mnajua Mbuzi wa Kwa Mromboo tu.

mmmmm haya kaka Paka hiyo kweli na mdudu wa mianzini kuleeee ila hiyo pilipil itakua ni balaa mpaka wataka jua pishi lake,nenda pale mc moody au sehemu pa cafe za wahindi nakuambia lazima uikute hiyo pilipili au wale wahindi wanaochoma kuku mabarazani jion sehem mbalimbali, pilipili zao huwa zinanivutia na mm hebu nenda kasurvey kama utaikuta..ila pole mwaya
 
ukiikaanga sana na mafuta mengi na kuhakikisha hakuna maji hata chembe yanabaki, inaweza kukaa sana. ila ukimaliza kutumia ukaiweka kwenye friji itakuwa mwake zaidi.

pilipili zozote tu zinafaa japo za kijani zitanukia zaidi.
Nauliza tu dadaKing'asti , hii chachandu inakaa siku ngapi bila kuharibika? halafu pilipili mbuzi mbivu au mbichi na ka sipendi limau naweza weka ndimu? Wabeja sana!
 
ukiikaanga sana na mafuta mengi na kuhakikisha hakuna maji hata chembe yanabaki, inaweza kukaa sana. ila ukimaliza kutumia ukaiweka kwenye friji itakuwa mwake zaidi.

pilipili zozote tu zinafaa japo za kijani zitanukia zaidi.

Mdada na wewe wa shoka!
Unapuyangaje humu Jf!
Kama hili jukwaa mi tangu niingie Jf ndo kwanza leo natia maguu!
 
Back
Top Bottom