Kabisaaaa Kasie mwenye Matata yakeAaahahahahaaa iweee booojooo.....!!
Utam unakuja na kukataUkiila kwa pupa wahisi ulimi umekatika...mie naila kwa step.Tamu inatia hamu ya kula.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante, heri na kwako pia Kasie matata ~ toto la kinyamwezi, Kasie mahaba, Kasie kiasaliKiasali, heri ya mwaka mpya.
katika vitu siwezi kuvisahau ni hili tuko aiseeee sikia tu pilipili jichoni isikuingie.Wale waliowahi kupata ajali ya pilipili kuingia jichoni wanaelewa
Hivi mnaongelea pilipili hii hii au kitu ingine, kama ni pilipili toka lini pilipili ni tamu?!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan pilipili ni chungu ? Ule ni utamu wakeHivi mnaongelea pilipili hii hii au kitu ingine, kama ni pilipili toka lini pilipili ni tamu?!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Waaaaoooo na kurembua tenaHarufu yake iko so addicted, saa ingine mie huwa hadi narembua nikiisikia...
Asante kushukuru Kiasali wa kinyamweziAhahahhaaaa asaanteeee.....
Hahaha mimi siwezi kula chakula bila pilipili mwendokasiHarufu yake iko so addicted, saa ingine mie huwa hadi narembua nikiisikia...