Pima uwezo wako wa kufikiria hapa>>>>>>>>>>>

saudari

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
2,655
Reaction score
2,783
Habari zenu Wana JF, naamini wote ni wazima wa afya.

Bila kupoteza muda twende kwenye swali langu la leo.

----------------------------------------------------------------
Mwalimu alisema "Laiti Jana ingekuwa Kesho, Leo ingekuwa Ijumaa".

Je Mwalimu aliyasema hayo siku gani?
----------------------------------------------------------------

Nategemea Jibu kutoka kwenu.

Asanteni.
 
duuh.. ngoja nimalize kazi ya bosi hapa nitarudi kuja kuumiza kichwa..
 
alisema hayo akiwa Nyumbani....hahahaaaaa ilikua inakaribia mwisho wa mwezi

Sijakuuliza aliyasema hayo akiwa wapi.
Jibu swali acha kupotezea.
 
Last edited by a moderator:

Leo ni jumapili, kwani jana ni Jumamosi ambayo kama ingekuwa kesho basi leo ingekuwa ijumaa
 
Simple, alisema hayo Jumapili.

Vilaza ambao hawajaelewa waniPM niwadadavulie.

Tuition fee itahusika.

na kwa nini huyo mwalimu aseme hayo maneno ya aibu namna hiyo hadharani.......?
 
Simple, alisema hayo Jumapili.

Vilaza ambao hawajaelewa waniPM niwadadavulie.

Tuition fee itahusika.

ha ha ha.. utaniambia kama kuna vilaza hapa JF watakaoku-pm Asprin..
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…