Pima uwezo wako wa kufikiria hapa>>>>>>>>>>>

Dah babu kwa kweli hili swali limeniumiza kichwa hadi nimechukua calculator ila badi sijaambulia kitu ila nakomaa kwanza coz jibu lako bado nahisi si sahihi
Usiumize kichwa sana kilaza, sorry ndugu yangu. Kuna jiniaz kakudadavulia, msome hapo chini.

Leo ni jumapili, kwani jana ni Jumamosi ambayo kama ingekuwa kesho basi leo ingekuwa ijumaa
 
Sasa Mpwa saudari umekataa nini jibu langu? si nilisema yuko nyumani? au jumapili watu wanaenda kazini? hahahhaaaaa
Leo ni jumapili, kwani jana ni Jumamosi ambayo kama ingekuwa kesho basi leo ingekuwa ijumaa
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Nidese hisabati? Unamjua Mshimba wewe na Kakiko??
Nlikuwa nakokotoa hadi namkokota Mwalimu Hall 3:rockon:
Hahahahaha.... mekumbusha ODM mbali kuleeeee

Nilijua wewe ndo ungekuwa wakwanza kujibu, kumbe fikira zangu zilienda kombo.

Hongera Gaspery Lasway hengera nyingine kwa babu Asprin na Pianist kama hamjamwigia Gaspery Lasway. Kongosho nawe nakupongeza kwa kujibu japo umechelewa sana.
Hapa Kongosho hausiki, kadesa jibu langu.
 
Last edited by a moderator:
Asantee kwa mara nyingine <br />
<br />
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…