Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
unajua limezuka Wimbish la vijana kuzaa ovyo kama ufahari
sasa wamefika wakati bar kila kijana analalamika aisee m yule mtoto xxx sijui kama sijaibiwa
hii n dhambi msiumize kichwa kama mnaona usumbufu ama maumivu fanyeni haya
najua itaumiza ila tumechoka na malalamioo yenu
Nenden na watoto zenu kapimeni dna kama mna moyo
wengine mioyo yetu tuliiachia kwa Bwana atukuta maumivu
givitas vyetu vitan vya bwana
wengine tumekuza hivyo hivyo enzi zetu bila kujali wala kuwaza n wa nani tunachojua tunaitwa Baba
sasa wamefika wakati bar kila kijana analalamika aisee m yule mtoto xxx sijui kama sijaibiwa
hii n dhambi msiumize kichwa kama mnaona usumbufu ama maumivu fanyeni haya
najua itaumiza ila tumechoka na malalamioo yenu
Nenden na watoto zenu kapimeni dna kama mna moyo
wengine mioyo yetu tuliiachia kwa Bwana atukuta maumivu
givitas vyetu vitan vya bwana
wengine tumekuza hivyo hivyo enzi zetu bila kujali wala kuwaza n wa nani tunachojua tunaitwa Baba