Sala yangu kwa Mwenyezi Mungu ni kwamba Mhe. Pinda ataweza ku-persuade J.K. kutowashirikisha wezi ktk Cabinet yake mpya.
Hata hivyo Chadema kitaendelea na mikakati na misisitizo yake ya kutaka Mabadiliko ya kweli. Hakuna kulala vijana, mpaka Kieleweke.
jamani humu sasa umekuwa ni umbea sometimes
Ndugu wana JF wenzangu, hebu wakati mwingine tufanyie taarifa hizi tafiti kabla ya kuziweka humu ndani. Hii inatupotezea maana nzima ya globu yetu ya JF ya 'GREAT THINKERS'. Kwa kweli mie inaniumiza sana kuona tunapoteza mwelekeo wetu wa kuelimisha jamii ya Watanzania. Na tujitofautishe na Globu zingine kwani wana JF tunasifika kwa kutoa hoja zilizo kwenda shule, hebu tujirekebisheni basi wakuu wenzangu.
Nasikia pinda ana chimbo lake permanent la kuchakachulia warembo
Nasikia pinda ana chimbo lake permanent la kuchakachulia warembo
yeye mwenyewe mrembo
Waziri mkuu Mizengo Pinda aliukataa uwaziri Mkuu na ikalazimika JK atume watu wakamshawishi na kupelekea jina lake kushindwa kupelekwa bungeni asubuhi kwa ajili ya kupitishwa, Katika kumshawishi aikubali tena nafasi hiyo JK alimwambia Mtoto wa Mkulima kwamba sabau miaka mitano iliyoisha hatujafanya viziri ndio maana unanitosa? Pinda alikubali kuendelea kwa sharti la kuwa na equal say katika kuunda baraza la mawaziri na hii ndiyo inayopelekea baraza kuchelewa kutangazwa.
Source; system