Sunday Feb 21, 2010
PRIME Minister Mizengo Pinda (left) gets some briefing from Igunga MP, Rostam Aziz today on the Mwamapuli pound which is used for irrigating farms in Igunga District Tabora Region, where the Premier is on official tour. (Photo by PMO)
Hata kwetu ni tusi, sijui anamaanisha nini
Naona ipo kazi kubwa kuliko tulivyofikiri kuirudishai hii nchi utawala wa sheria!
Je waraka wa wapiganaji utafanya kazi? Je, ni kweli kuwa hao wapiganaji wapo?
Hapa suluhisho ni kuhakikisha kuwa utawala huu haurejei madarakani! Lakini, ni kwa vipi?
Hapo Pinda amenoa. Tamko hili la kuwataka watu wasisikilize yanayosemwa bungeni ni la kulaaniwa na wapenda maendeleo wetu wa nchi yetu. I hope Spika ameshaanza kuangalia vifungu vinasemaje kuhusu mtuy anayekejeli Bunge kama alivyofanya Pinda.
Inasikitisha na kuchefua sana. Hii ni uthibitisho kuwa hata Pinda hajui maana na umuhimu wa Bunge?
Kwa jinsi Igunga mjini palivyo, ukilinganisha eti utajiri wa RA....mhhhhhhhh!!!!!!
Bora awe mbunge wa Ikulu, wa kuteuliwa na jamaa yake na si mwakilishi direct wa watu.
Hiyo ni kwa ajili ya wale wanaompinga RA.
Huyu mzee is more Idiot that I really thought!Kwa hiyo pale bungeni tunachezewa danadana tu!
Hicho kidole cha Waziri Mkuu katika picha ni kwa ajili ya wale wote wanaomtetea Rostam Aziz na kundi lake la mafisadi.
hilo dole alivyoliweka manake anawatukana wasiomtaka rostam aziz
Sioni ajabu huyu bwana kumsifia Rostam, kama mtakumbuka huyu bwana kabla ya kilio chake bungeni alikwisha kili kuwa hawa mafisadi ni watu hatari sana na wakuogopwa; sasa inaelekea kwa woga wake ndio anaanza kuzumza hovyo na kujipendeka kwa hawa mafisadi.
Hata kwetu ni tusi, sijui anamaanisha nini