Pinda ashangazwa na kauli ya mwanasheria mkuu

Pinda ashangazwa na kauli ya mwanasheria mkuu

kapotolo

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2010
Posts
3,727
Reaction score
2,217
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amemshangaa Mwanasheria mkuu kwa kusema kauli aliyotoa kuhusu Katiba mpya kuwa ni maoni yake binafsi. Amesema kauli anayotoa kiongozi yoyote akiwemo yeye mwenyewe Pinda haiwezi kamwe kuwa kauli yake binafsi. (Mlimani TV)

Namuomba Mh Mwanasheria mkuu aahidi kutorudia tena kutoa kauli zake binafsi. Tunajua alikuwa anajipendekeza lakini akumbuke akauli zake ni za serikali hata awe anajikombakomba.

Ni hayo tu.
 
hivi mtendaji wa serikali anapotoa tamko akitumia cheo alichonacho serikalini tena akiongea kwa niaba ya serikali inakuaje akaita maelezo yake ni kauli binafsi,,,,, ina maana serikali ni kama kikao cha kahawa au cha walevi ambapo kila mtu akijiskia kusema kitu anajiibukia tu?
 
Hivi mwanasheria mkuu wa serikali ni nani?
 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amemshangaa Mwanasheria mkuu kwa kusema kauli aliyotoa kuhusu Katiba mpya kuwa ni maoni yake binafsi. Amesema kauli anayotoa kiongozi yoyote akiwemo yeye mwenyewe Pinda haiwezi kamwe kuwa kauli yake binafsi. (Mlimani TV)

Namuomba Mh Mwanasheria mkuu aahidi kutorudia tena kutoa kauli zake binafsi. Tunajua alikuwa anajipendekeza lakini akumbuke akauli zake ni za serikali hata awe anajikombakomba.

Ni hayo tu.

Kwa hiyo PM nae anashangaa kama sisi wa mtaani.....then what????
 
Back
Top Bottom