Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda ameeleza anavyosikitishwa na matukio ya utekaji watoto na wengine kuuawa katika mazingira ya utatanishi huku miili yao ikikutwa imenyofolewa baadhi ya viungo kwa imani za kishirikina zinazohusishwa na harakati za uchaguzi
Amesema "Wakati naingia Uwaziri Mkuu ndio ilionekana sana imejikita [Utekaji] katika kwa Watu wenye Ualbino, wengine walikuwa wanakatwa viungo na wengine kupoteza maisha na kadhalika. Safari hii ni kama ukurasa mwingine umejitokeza, kuna baadhi wanadai kuwa Wanasiasa nao wameingia kwenye tatizo hilo kwa kujitumaisha kuwa akifanya hivyo ndio anashinda. "
Amesisitiza "Huwezi kutumia kiungo cha binadamu mwezako kwa maana kwamba ndio unatumia kutaka kushinda. Unashinda kutokana na kazi nzuri unaoifahanya na upo kazribu na watu wako waliokutuma kwenda kuwawalikisha, unashinda kama unatumia muda wako wingi kuwatumikia walio kuchagua wawakilishe"
Amesema "Wakati naingia Uwaziri Mkuu ndio ilionekana sana imejikita [Utekaji] katika kwa Watu wenye Ualbino, wengine walikuwa wanakatwa viungo na wengine kupoteza maisha na kadhalika. Safari hii ni kama ukurasa mwingine umejitokeza, kuna baadhi wanadai kuwa Wanasiasa nao wameingia kwenye tatizo hilo kwa kujitumaisha kuwa akifanya hivyo ndio anashinda. "
Amesisitiza "Huwezi kutumia kiungo cha binadamu mwezako kwa maana kwamba ndio unatumia kutaka kushinda. Unashinda kutokana na kazi nzuri unaoifahanya na upo kazribu na watu wako waliokutuma kwenda kuwawalikisha, unashinda kama unatumia muda wako wingi kuwatumikia walio kuchagua wawakilishe"