mh! teh teh teh, wanamaneno hawa jamaa,utahadhani kweli vile, nilivyokwisha wazoea lazima awe na sifa hizi kuwa kiongozi wa ccm, kulindana, kuficha ukweli,kuogopa ukweli,na unafiki.......kama ni mkweli atujibu yeye maana mh jk kashindwa kumrudisha balali,yeye asituletee balali ila amtaje anayezuia ballali asirudishwe na hatua za sheria zichukuliwe, pili aseme tu kwanini wezi wa BOT WANARUDISHA PESA LAKINI HAWAKAMATWI,AMTAJE NANI ANAZUIA HATUA ZA KISHERIA ZICHUKULIWE. MH PINDA ,USIJE UKATUPA GHARAMA ZA MAZISHI KAMA UKISHINDWA KUJIZUIA VISHAWISHI ,MAANA SERIKALI YAKO BADO MAFISADI WAPO, MFANO HAI NI HUU,EL KAPOKELEWA KAMA SHUJAA, MWAKYEMBE ANAAMBIWA NI FITNA, NA MAPOKEZI YAKE KUMEJAA MIZENGWE. Rais keshatamka el ni shujaa, hajampa sifa hiyo dr makyembe.
by Utajiju
seff mpitanjia