Pinda & Shein becoming CCM Spinning Machine?

mwanatanu

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2008
Posts
851
Reaction score
127
Baada ya kusoma hili gazeti nina wasiwasi ya kuwa Mzee Pinda na Mkulu Shein (the only clean people in Chama Cha Makulaji)wanatumiwa ku spin ile scandal ya chenge wanatuletea EPA....ama kweli wajinga waliwao


Akizungumza na Waziri Mkuu wa Denmark, Anders Fogh Rasmussen, Jumatano wiki hii, Dk. Shein alisema kuwa watu wote watakaoonekana kuwa walihusika katika ufisadi kwenye maeneo hayo mawili, watafikishwa mbele ya mkono wa sheria.

 
jamani ebu google CORRUPTION INVOLVED JERSEY ISLAND ENGLAND halafu muone jinsi hiki kisiwa kilivyokubuu kwa kuweka pesa za wizi, please weka thread.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…