Mfwatiliaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,323
- 67
Aliahidi statement within siku tano au baada ya siku tano? Kuna tofauti kubwa hapo.
acheni double standard kule nyamagana, yule alipambana na masha kakata rufaa na kashinda na kampeni zimeanza ooh wako makini na uamuzi uko sawa, ila wakiamua hukumu dhidi yenu hawako fair wamechaguliwa na rais.
hivi wanapotoa haki kwa upande wenu wanakuwa wamechaguliwa na mbowe ?
hahaha huyu anayedai kuwa mume wa Josephine anamdai Dk Slaa na Josephine bilioni moja kutokana na usumbufu.,,,,kama fidia ya kuvunjwa kwa ndoa...
Naona mchezo umefika patamu manake amecontract mawakili kabisa......
wana vielelezo😛icha za ndoa, vyeti vya kuzaliwa vya watoto, na vyeti vya ndoa.
hii ni kwa mujibu wa Channel tena habari zinazoendelea,,
huh! come again!
uchaguzi wa mwaka huu kweli moto.........
hahaha huyu anayedai kuwa mume wa Josephine anamdai Dk Slaa na Josephine bilioni moja kutokana na usumbufu.,,,,kama fidia ya kuvunjwa kwa ndoa...
Naona mchezo umefika patamu manake amecontract mawakili kabisa......
wana vielelezo😛icha za ndoa, vyeti vya kuzaliwa vya watoto, na vyeti vya ndoa.
hii ni kwa mujibu wa Channel tena habari zinazoendelea,,
- Msajili ametupilia mbali pingamizi hilo
- Pingamizi limeleta usumbufu kwa Wananchi.
Hivi ni kivipi hasa hilo pingamizi limeleta usumbufu kwa wananchi? Kuna mwananchi hata mmoja aliyesumbuliwa na pingamizi hilo?
Hivi ww Kaiser unajua kuwa Channel 10 inamilikiwa na nani? Kumbuka hata wakati wa Mrema kuna mwanamke aliletwa eti amezaa na Mrema. au ulikuwa hujaruhusiwa kupiga kura? ni wale wale tu badala ya kutoa hoja za kuwaondolea umaskini wananchi wanaanza upupu.
Nalisema hili kwa kuwa lilisemwa na Makamba ambaye ni Katibu mkuu wa CCM.
Makamba akumbuke kuwa atakuwa sawa na Man'gula. CCM haina Adabu.
Je umewahi hata siku moja tangu Kampeni viongozi wa Chadema wanazungumzia kuanguka kwa Kikwete hadharani na ana Kifafa, na kutumia hicho kama kigezo cha kupatia kura? Kama unabisha tuteremshe DATA.