Pingu za Sheikh Ponda zawaumbua polisi mahakamani

Status
Not open for further replies.
Ni kweli sheria inamtaka askari Magereza au Polisi wanapowapeleka wafungwa au watuhumiwa kwenye chamber court kuwafungua pingu ili kuwapa uhuru na ni kinyume na haki za binadamu. Lakini kuna mazingira ambayo kwa ruksa ya hakimu anaweza kuruhusu mtuhumiwa au mfungwa asifunguliwe pingu endapo kutakuwa na sababu za kufanya hivyo.

Mfano, inawezekana mtuhumiwa ni mwanaume na hakimu ni mwanamke na mtuhumiwa/watuhumiwa wamepanga kumfanyia udhalilishaji mbele ya mahakama, hakimu anaweza kuruhusu kwa mamlaka aliyonayo watuhumiwa wafungwe pingu.

Sasa nikiangalia kwa kesi ya Ponda ni dhahili ni complication za polisi kumpa umaarufu usio kuwa wake.
 
Huyu DPP ni wakummaliza kabisa kwanini anamdhalilisha Shehe wetu kiasi hichi.Leo ijumaa baasi
 
Pro-Chadema JF tambueni mambo yakienda yakibadilika leo polisi wanaonekana wanafanya kazi vizuri na mnawapa sifa nyingi.

Kaeni mkijua hawa polisi hawana UTU wala ubinadamu siku wakipambana na Chadema tuungane pamoja kuwapongeza polisi.
 
Pro-Chadema JF tambueni mambo yakienda yakibadilika leo polisi wanaonekana wanafanya kazi vizuri na mnawapa sifa nyingi.

Kaeni mkijua hawa polisi hawana UTU wala ubinadamu siku wakipambana na Chadema tuungane pamoja kuwapongeza polisi.
Uko nje ya mada.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kujichukulia sheria mkononi kosa dogo? aliyenunua kiwanja asingekuwa mvumilivu, akataka kulinda mali yake iliyoharibiwa na iliyoporwaamani ingekuwapo?
 
hawa wenzetu waislam bado sana sijui watatoka lini huko waliko maskini huyo sheikh ponda kiko wapi sasa.
 
SOURCE: REDIO IMAAN. [B said:
MY TAKE:
[/B]MFUMO KRISTO HADI KWA DPP NA JESHI LA POLISI?

MBONA HATUKUWAHI KUMUONA ABDALLA ZOMBE, MCHUNGAJI MTIKILA NA WATUHUMIWA WENGINE NA IWE KWA SHEIKH PONDA AMBAE AMESHTAKIWA KWA KOSA DOGOTU LA KUKIKOMBOA KIWANJA CHA WAISLAM?

ohhh.. hebu rudia kwa sauti
 
Kweli jela haina mwenyewe! Sasa jeuri yote iko wapi? Jela ni nouma jamani! Angalia sasa......

Wewe ni kafir tena maskin wa mawazn,
jela kwa waislam ni kitu kidogo,wangap walfungwa,kuuwawa
lakin mwishon UKOM
BOZ ulipatkana.NYINY
MALIPO YENU NI HAPA
DUNIAN TU,AKHERA HAMNA KITU..!
 
kumbe mtu anapokomboa kitu chake ni kosa japo dogo ee! ok.kumbe muhalifu aliefanya kosa dogo hatakiwai afungwe pingu na akifunga ni kinyume na sheria ee! ok. tukipata wanasheria kama ninyi mtatusaidia sana.


:flock:tatizo kubwa,hamna uhakika na Mungu mayemwabudu.Mungu anao uwezo wa kujitetea na kamwe hapiganiwi na mwanadamu coz yy ni Mungu

Au mna mashaka na Mungu wenu??
 
waislam wachache tuache malalamiko fanyeni kazi au mnatumiwa nyinyi? Mnataka USA walete madege yao watushushie ma drones hayachagui tutakufa wote kama kuku.
 
Mwandikie malalamiko yako DPP, ukiyaleta hapa, hakutakuwa na mabadiliko yeyote, sana sana waweza jikutwa unapandishwa ghadhab na kuharibiwa Ijumaa yako.

Bujibuji ushauri uiotoa ni sahihi kabisa japo mvua ya majibu yatakayomvurugia Ijumaa aikubali tuu maana kaishaibandika thread hapa uwanjani!
 
Kitu gani kinachokuonesha mungu anatetewa kwa silaha? Mm naona kukosa haki ndio kunasababisha watu wapigane, sasa km kudai haki ni kumtetea mungu, subiri ukidhulumiwa ww kaa kimya mungu atakutetea.
 
hawa wenzetu waislam bado sana sijui watatoka lini huko waliko maskini huyo sheikh ponda kiko wapi sasa.

Huwa hawa jamaa ni wapinzani wa kila kitu kipya pale kinapoanzishwa halafu wakishaona wameachwa nyuma kimaendeleo wanaanza ulalamishi na kutaka kupigana! Elimu waliipinga sana wakiita elimu dunia, sasa hivi wanaibuka na kudai walinyimwa elimu. JK mwenyewe aliwahi kuwapasha siku moja wakati anafungua sekondari yao moja kule mbeya akawaambia "Mkijenga shule nyingi mtajikomboa kielimu na si kubishia kila jambo. Kila jambo ninyi ndo mnalijua".
 
:flock:tatizo kubwa,hamna uhakika na Mungu mayemwabudu.Mungu anao uwezo wa kujitetea na kamwe hapiganiwi na mwanadamu coz yy ni Mungu

Au mna mashaka na Mungu wenu??

Kwa mujibu wako,shekh Ponda kupigania kiwanja cha waislam ni kumpigania mungu... Haswaaa umepatia,lkn umesahau kwamba mungu hawezi shuka kukipigania kiwanja hicho. Hii ni sawa na kumuomba mungu ufaulu bila ya kusoma...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…