Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #21
Na bado Mungu kaniweka napumua mpaka LeoMimba yako ni miongoni mwa ambazo zilipaswa kuwa aborted mapema sana
Na bado Mungu kaniweka napumua mpaka Leo
me nadhani wewe ulitakiwa uzaliwe somalia au North Nigeria wakunyooshe kwanza
Maana unatumia makalio kufikiri na kuandika
Manzi mojaUna umri gani wewe jamaa asbh yote hii tunawaza hela we unazungumzia uzinzi
weeeeManzi moja
money kumbe unapenda pipe😁
Kuna mambo yanafurahisha sana...
FortysevenKuna mambo yanafurahisha sana...
napenda la mume wangu tumoney kumbe unapenda pipe😁
Enewe. Mwambie afupishe stori. Wanawake wote wako sawa. Si mfupi,si mrefu,tajiri masikini,mwehu na anaejitambua. Woooote pisi kali. Sasa basi. Jukumu lao moja tu. Kutoa hudumaaaa. Mara oh,mara moto nooo.
ni fupi rudia kusoma upyaEnewe. Mwambie afupishe stori. Wanawake wote wako sawa. Si mfupi,si mrefu,tajiri masikini,mwehu na anaejitambua. Woooote pisi kali. Sasa basi. Jukumu lao moja tu. Kutoa hudumaaaa. Mara oh,mara moto nooo.