http://rapidshare.com/files/149608316/pipeline.pdf
Baada ya hapo ningependa kuona wahandisi wetu wakibadilisha mabomba yote chakavu na wabadili miundo mbinu ya mabomba hayo kwani mengine yamejengewa nyumba juu yake hasa maeneo ya Sinza.
Tatizo sio kubadili mabomba, bali ni FEDHA ya kuwezesha zoezi hilo.
Ubarikiwe kaka...nimeishaikamata hii.
Kama kuna possibilities, naomba unisaidie pia kitabu hiki: SMALL WATER SUPPLIES - A PRACTICAL GUIDE, by David Clapham
Many thanks!