Baada ya kuzoeleka kwamba kila mwaka Diamond platnumz kukonga nyoyo za watu wa Nai katika concert ya Safaricom. Sasa imekua ndivyo sivyo, baada ya waandaji hao kubadilisha upepo na kumchukua Jose Chamilione ili kuwauliza watu wa Nai kwamba WALE WANANI MPAKA KUWASHINDENI NYIE KWENYE INDUSTRY MUSIC? Hii inaonyesha kwamba Demand ya Diamond platnumz now is decreasing while Jose Chamilione is going high.