Pipi ya Diamond Platnumz imekwisha utamu in Nairobi

OR Recipe

Senior Member
Joined
Jul 2, 2014
Posts
150
Reaction score
34
Baada ya kuzoeleka kwamba kila mwaka Diamond platnumz kukonga nyoyo za watu wa Nai katika concert ya Safaricom. Sasa imekua ndivyo sivyo, baada ya waandaji hao kubadilisha upepo na kumchukua Jose Chamilione ili kuwauliza watu wa Nai kwamba WALE WANANI MPAKA KUWASHINDENI NYIE KWENYE INDUSTRY MUSIC? Hii inaonyesha kwamba Demand ya Diamond platnumz now is decreasing while Jose Chamilione is going high.
 
Si lazima kuanzisha thread..
 
Haya nayo ni maajabu, kwamba demand ya diamond kipindi cha nyuma ilikuwa kubwa kuliko ya Chameleon??
 
ukute labda daimond hakuwa na nafasi siku hiyo ndiyo maana......na hata hvyo kutoalikwa mahali haimaanishi demand yako imeshuka may be wameshindwa kum afford juu ya ukubwa wa gharama zake......
 
Thread nyingine bwana ilimradi tu, kwani ni lazima kila mwaka achukuliwe yeye? Mbona Diamond juzi tu alikuwa huko Kenya(December) ,au unataka awe anatumbuiza kila wiki? So kwakuwa T.I alichukuliwa na Cloudz mwakajana asipochukuliwa mwakahuu itamaanisha kwamba kafulia? Anyway, unamdhalilisha Jose Chamilion kusema thaman yake ndo inapanda sasa kana kwamba hakuwa na thaman huko nyuma
 
Mi nnachojua ali kiba atakuwa na shoo mitaa ya Geita vijijini
 

team kiba mnahangaika maskini.yaaaan kwan dai lazima aende uko kila mwaka??labda kakataa lbda kwa kuingiliana program au wameshindwana dau maaana dau la chibu linapanda kila week!!
 
Hivi kwa nini waTanzania wengi wana mentality hii ya 'chetu ni kibaya na dhaifu...cha jirani ni kizuri na bora zaidi'? Chameleone alikuwa juu sana kabla hata Diamond hajavuma....Diamond akapanda kwa kasi sana EA na hata nje ya EA (West Africa)...lakini wewe unamuona Diamond anashuka na Chameleone anapanda...nani anayeshuka na nani anayepanda kati yao!?
 
diamond anapendwa sana Kenya aise, labda alikuwa na shugli hiyo siku.
 
au kkwavile aliwanyanyapaa wasanii wa kenya ktk ile show ya Mombasa?
 
nyinyi ndo mnafanya watz tunaonekana hamnazo sasa ww uwezi kujiongeza kwamba kuna varieties za wasanii?kichwa maji kweli ww
 
The fact that they can't afford Diamond right now + the way they hate Tanzanians . haishangazi kuona wamemchukua J. chameleon.
 
nyinyi ndo mnafanya watz tunaonekana hamnazo sasa ww uwezi kujiongeza kwamba kuna varieties za wasanii?kichwa maji kweli ww

Acha kutokwa na mapovu. Hivi diamond kakuajri kutoa mbwa nje?
 

Umeona èeee! !! Watanzania wengine bwana! Hivi kuna tatizo gani tukimuunga mkono Mtanzania mwenzetu na kumpongeza kwa kazi nzuri anazofanya, yaani mimi nampenda sana mtanzania yeyote anayefanya vizuri kwani analitangaza Taifa letu dunia nzima.

Ila kuna watu kila siku kudharau vya kwao, watu kama hao ukiwapa madaraka ni rahisi kuuza nchi.

Lakini mara nyingi mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…