Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Vaaaap napitia humu kila nikitoa jicho nakuta kila pishi ni mwendo wa saa liimoja..
Hebu wadau tushirikiane mapishi ya chap chap ya ki bachelor....
Kwangu napendelea kupika.
1. Tambi, nachemsha maji naweka chumvi na sukari kidogo then bdae mafuta then tambi mwisho(though nimepata ujuzi mwingine humu) baadae nachukua mayai nakaanga huku nikichanganya na saladi.
2. Mkate uliopakwa asali ( hapa nasisitiza asali maana huwa inaongeza nguVu mwilini na kukufanya usisikie njaa mapema) mayai na saladi na kikombe changu kimoja cha kahawa iliyochanganywa na viungo basi nikikandamiza hv naitafuta asubuhi)
3. Soseji though sipendelei sana...nachanganya na pishi hzo hapo juu.
4. Ugali samaki hapa kama nina nguvu za kusonga ugali.
Hebu tuongezee na wewe huwa unajipikia nini? Fasta fasta....
Karibuni bachelors and X bachelors....
Hebu wadau tushirikiane mapishi ya chap chap ya ki bachelor....
Kwangu napendelea kupika.
1. Tambi, nachemsha maji naweka chumvi na sukari kidogo then bdae mafuta then tambi mwisho(though nimepata ujuzi mwingine humu) baadae nachukua mayai nakaanga huku nikichanganya na saladi.
2. Mkate uliopakwa asali ( hapa nasisitiza asali maana huwa inaongeza nguVu mwilini na kukufanya usisikie njaa mapema) mayai na saladi na kikombe changu kimoja cha kahawa iliyochanganywa na viungo basi nikikandamiza hv naitafuta asubuhi)
3. Soseji though sipendelei sana...nachanganya na pishi hzo hapo juu.
4. Ugali samaki hapa kama nina nguvu za kusonga ugali.
Hebu tuongezee na wewe huwa unajipikia nini? Fasta fasta....
Karibuni bachelors and X bachelors....