NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
hahahaaaa hatupungukiwi damu mkuu kwa milendaAwamu hii ya tano tutasahau habari za bugger ni story za mlenda magadi hadi kieleweke!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji23] [emoji3] mkuu umeniacha hoi sanaAwamu hii ya tano tutasahau habari za bugger ni story za mlenda magadi hadi kieleweke!
mfupi tu mkuu tena huipiki muda mrefu kisha haupotezi kijani yakehuo mlenda utakuwa mrefu kama reli ya kati
mbona delega ni supa vejitebo mkuu kula tu kama mlenda haupandiSisi wa vijijin je?au tuendelee kula delega?
Unapanda!!ila naona brenda inahusika sana ndio mana nkauliza je ss wa vijijin je!tutaweza bila gadi?mbona delega ni supa vejitebo mkuu kula tu kama mlenda haupandi
labda mlenda wa kigogo lakini si wa bamia kwa virutubisho vyake!Mimi napenda kula ila bamia mirenda na upuuzi wake sitokaa nikule..
kama upo kijijini na hakuna blenda tumia pikicho kuulainisha mkuuUnapanda!!ila naona brenda inahusika sana ndio mana nkauliza je ss wa vijijin je!tutaweza bila gadi?
Huo utelezi nani atie ulimi wake...! Aisei hapana kwangu aisei virutubisho nitapata kwingine..labda mlenda wa kigogo lakini si wa bamia kwa virutubisho vyake!
hapo penye blenda nimewarahisishia kazi wa mjini ambao hawana ujuzi wa kuipika KIENYEJIUnapanda!!ila naona brenda inahusika sana ndio mana nkauliza je ss wa vijijin je!tutaweza bila gadi?
HahahahahAwamu hii ya tano tutasahau habari za bugger ni story za mlenda magadi hadi kieleweke!
hongera kinachotakowa ni kijani namlendemko wake tu kuingia tumbo haijalishi umeula kama mboga au umeunywa kama juisi Mr Miller .hongera kwa hilonapenda mlenda kuunywa kama kiburudisho cha jioni tu au mchana....kula mlenda kama mboga nimeshindwaga kwakweli.