Nimekuj mbioa nikajua unatuwekea full video ya pishiNiongeze nini tena.. Nimeshakaanga mahindi na maji..viko vinatokotaView attachment 2561437
[emoji16][emoji16][emoji16]Sio makande ni pilau[emoji23]
MmmH!! Hayo mahindi ulipukuchua halafu ukakoboa kidogo au uliyainjika yakiwa hivyo-hivyo kama yanavyoonekana kwenye picha? 🏃♂️Niongeze nini tena.. Nimeshakaanga mahindi na maji..viko vinatokotaView attachment 2561437
Hey! Arika mbwanyeni. Lakini ww ukae mbali wakati vinachemka na kamwe usiende hapo jikoni kugeuza-geuza auWeka sabuni ya unga pakti moja, na mafuta ya taa nusu lita. Subiri vichemke!
Njano gololi ndo habari ya mjini.Yale ya Mbeya ama kitumbo?
Ni pilau la mahindi mkuu. Usiogope, ndivyo linavyopikwa!Mmh hapa siwezi kutengeneza bomu kweli
Yeah. Mtumiaji wa chakula hiki anashauriwa kushushia na k-Vant ya bariiidi.Yakiwa makavu