Pishi la shurba

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
SHURBA

Mahitaji
  • Ngano nzima nusu
  • Nyama kg1
  • Tungule 1kubwa
  • Kitunguu maji 1
  • Somu na tanga wizi kijiko 1cha mezani.
  • Pili pili boga1
  • Pilipili manga kijiko kidogo
  • Uzile au bizari nyembamba kijiko kidogo
  • Mdalasini kijiko kidogo
  • Mafuta kijiko cha mezani.
  • Magiagi kidonge cha supu
  • Chumzi
Namna ya kutayarisha
  1. Chemsha ngano mpaka ziweve.
  2. Chemsha nyama pamoja na kitungu somu na tangawizi mpaka iwive sana iwe laini laini sana.
  3. Ikiiva nyama, kata kitunguu maji na tungule pili pili boga changanya kwenye nyama.
  4. Tia magi na spais zote.
  • Ipike kwa dakika 5 au 10 hakikisha vimeiva
  • Vikiiva utatia ngano zako ulizo zichemsha
  • Utachanganya vizuri mchanganyiko wako halafu utatia mafuta na kukamulia limau kidogo.
  • Utapika kwa dakika 5/10
Itakua tayari kwa kuliwa.


 
Pishi likishaanza na ngano, linanikata sana sijui kwanini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…