Pisi za kidimbwi zinakuwaga wapi mchana?

Pisi za kidimbwi zinakuwaga wapi mchana?

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,286
Reaction score
39,418
Katika kumalizia weeknd leo mapema sana nimeingia kidimbwi beach kurefresh kujiandaa na mikiki ya kesho. Kadiri muda unavokwenda pisi zinaingia ni hatari pisi kali sana, hivi hzii pisi zinakuwaga wapi? Mbona mchana sikutani nazo mtaani?

Au ndo zinakuwa zimelala sahv ndo zinaamka? Aisee ni shidaa wajumbe tutafute pesa[emoji1316]. Mungu ibariki Tz.
 
Zipo mbili nakaa nazo hapa ghetto tunaingia 2nd year. Kuna nyingine mbili zinakuja kuwapa kampani zinaungana na kuwa mtu nne kila weekend Kidimbwi. Sidhani kama ziliwahi kula bata sehemu tofauti ila leo hazijaenda zilikuwepo jana.

Nyinyi ndo mnazileta siku nyingine saa 10 alfajiri na hizo Brevis zenu wakati huwa zinaondoka na Bolt.
 
.
20201026_103341.jpg
 
Zipo mbili nakaa nazo hapa ghetto tunaingia 2nd year. Kuna nyingine mbili zinakuja kuwapa kampani zinaungana na kuwa mtu nne kila weekend Kidimbwi. Sidhani kama ziliwahi kula bata sehemu tofauti ila leo hazijaenda zilikuwepo jana.

Nyinyi ndo mnazileta siku nyingine saa 10 alfajiri na hizo Brevis zenu wakati huwa zinaondoka na Bolt.

watu wenye Brevis na Noah wanaongoza kurudisha na kufuata vitoto hostel
 
Katika kumalizia weeknd leo mapema sana nimeingia kidimbwi beach kurefresh kujiandaa na mikiki ya kesho. Kadiri muda unavokwenda pisi zinazoingis ni hatari pisi kali sana, hivi hzii pisi zinakuwaga wapi?? Mbona mchana sikutani nazo mtaani??

Au ndo zinakuw zmelala sahv ndo zinaamka?? Aisee ni shidaa wajumbe tutafute pesa[emoji1316]. Mungu ibariki Tz.
Yaani utafute pesa kwa ajili ya kupata MA_LA_YA wa kidimbwi?
 
Sikujui huko kidimbwi ndio wapi wakuu nakashuhudie uumbaji wa Mola
 
Back
Top Bottom