Pita hapa kama unataka kujua chochote kuhusu biashara Kampala

Sijaleta siasa wewe ndio unataka kuleta siasa biashara kama unajua sehemu wanachukua hao waganda nawe zifuate huko huko maana itakuwa nafuu kwako
We Pilato ndo yule.jamaa fundi simu wa Kwa Dr.Phone stand ya Lushoto? am I right? yeah iam damn right....
 
Kampala ni hatari sana,,nlisoma hizi nyuzi zimenisaidia sana,,nimemaliza kufunga mzigo kesho narudi Tz,,ndani ya week nne ntarudi,,nimeona fursa nyiiingi,,naenda kujipanga nirudi na nguvu ya hatari
Long live Jf
Dada tupe mrejesho basi ya huko Kampala kama umeenda tena
 
Jaman mkienda kampla msisahau kuangalia show moja inaitwa kimasulo ....we ingea tu bar uliza kama kuna kimasulu...utakula na macho ukitaka na mwili utakula yan n wewe tu...watoto kama nane hivi wanacheza uchi .unasiwa kushika kokote kwasabab umelipia entrance ila usisau kukaa viti vya mbele kwasabab ukitia kidole au akijichezea huwaga wana splash maji utafikili n bomba la maji kumbe n kkkkkkkkk....
 
Sasa hapo cha ajabu kitu gani? Mbona show za uchi Bongo ni za kumwaga tu?

Itakuwa mgeni wewe.
 
lipa kodi kwa maendeleo ya Nchi yako , kuwa mzalendo kwa pamoja tuijenge nchi yetu pendwa
 
Duh nimepaniki tayari, nilikuwa na mpango wa kwenda January mapema au December mwishoni
 
Hotel gani n nzuri kufikia ambayo wana hiyo huduma ya kupewa mtu wa kukuzungusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…