Piteni hapa jamani mtoe neno

Huyo jamaa atakuwa na lake jambo mbona wengi tu wako ivo na wanapendwa tuuu...vuta subira utampata akupendae kwa dhati bila kujali mapungufu uliyonayo
 
kweli najiona sifai kabisa sasa nifanyeje ndugu zanguni kuna mtu kaniambia nipake sukari,,, pia kuna mwana dada maarufu kaniambia anauza dawa ya kunenepesha miguu nimpe laki 1 bado najiuliza cjui kweli?
 
Shukuru MUNGU amekuacha mapema huyo uliekuwa nae. Kumbe yeye anapenda miguu na si kwamba alikupenda wewe? Mwambie kama anataka miguu minene akaoe kitanda mana ndio kina matendegu manene.....
Tafsiri finyu ya kupenda kwa mtazamo wangu ni "kukubali kuishi na mapungufu ya mwenzio unconditionally". Sasa kama yeye ameshindwa kuvumilia miguu yako take it simple kwamba hajakupenda. Mwache akampate mwenye miguu ya "bia" halafu akute ni mzuri kweli kweli wa umbo na sura ila tabia ni F, atalia kwa lugha ya kwao!
Hakuna mtimilifu, tunatakiwa turidhike na tulio nao!
 
mapenzi hakuna hapo wala asikusumbue..leo anakwambia miguu..utajitahidi kuibadilisha,kesho atakwambia maziwa kesho kutwa makalio zen baada ya kufanya hayo yote atakwambia umebadilika umekuwa kituko so hakutaki tena..kuwa jasiri usikubali kupelekeshwa tu..sasa kesho akikwambia una papuchi mbaya sijui napo utatutumia picha kuomba ushauri
 
kweli najiona sifai kabisa sasa nifanyeje ndugu zanguni kuna mtu kaniambia nipake sukari,,, pia kuna mwana dada maarufu kaniambia anauza dawa ya kunenepesha miguu nimpe laki 1 bado najiuliza cjui kweli?

ohoooo, tayari ishakuwa fursa. Wabongo kweli nuksi. kweli hii JF ni msitu mnene
 
kweli najiona sifai kabisa sasa nifanyeje ndugu zanguni kuna mtu kaniambia nipake sukari,,, pia kuna mwana dada maarufu kaniambia anauza dawa ya kunenepesha miguu nimpe laki 1 bado najiuliza cjui kweli?

umejitahidi kweli jinsi ulivyo-design kutangaza biashara yako. Na utawanasa tu coz mwalimu wao ni kipofu always.

-Kaveli-
 
Mbona ni miguu mizuri tuu hiyo..!
 
No one can make you feel inferior without your consent. Ngoja nikutafutie mbutananga ili akuazime Ile confidence yake hata kwa siku moja. Em mshukuru Mungu una hata miguu inayotembea
 
ni miguu jmn mi nimeumbwa hivi nashindwa kujibadili sasa swala la ngozi kavu kweli ninangozi kavu
Wala usisikitike my dear,Mungu kakuumba hivyo kwa makusudi,Mungu atamleta mume wa kweli aliyekusudia,ambaye atakupenda kama ulivyo,hawa wanaokubeza usiwajali,wewe ni thamani sn mbele ya mwenyezi Mungu,Nakuhusu mazoezi sijawahi sikia kama kuna mazoezi ya kunenepesha miguu,labda wapo wanaojuwa watakushauri,Miguu yako ni mizuri tu mamii kikubwa jitahidi kulainisha ngozi ya miguu yako.
 
umejitahidi kweli jinsi ulivyo-design kutangaza biashara yako. Na utawanasa tu coz mwalimu wao ni kipofu always.

-Kaveli-

Na atawanasa kweli, na hizi ndo ID za kazi mkuu, eti tangu 2013 bado ni member tu
 
The Boss katika ubora wake
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…