Piteni hapa jamani mtoe neno

afadhali aisee nitumie tu hiyo pesa

Sijampata mtu kutoka songea..wote wanaokuja kibande iyo ni wachaga wenzio ...na kwa taratibu za kabila yetu ukimpa ela...utaishia kuona manyoya.Au kama vipi njoo hapa soko la mitumba utanipata vzr chalyangu!
 
me nathani kuwa na miguu mizurii ni kwa jinsi mungu alivyookuumba jikubali ulivyo huyoo aliyekuacha
alikua na lake jambo hakukupendaa kwa dhati just move on usikubali akurudishe
nyuma yupo atakae kupenda ulivyo trust your self🙂

Tupeaneni mioyo jaman
 
Kila mtu ana matamanio yake juu ya mwili wa mwanamke...ila je msisitizo unao hapo nyuma??jiamni

Hahahahahaha 😂😂😂aseeh. Eti msisitizo? ukitaka kujua kitu kinapendwa kitatungiwa majina mengi
 
jf bwana ina mambi!! ina mabint wa jf hum woote wana miguu ya bia du!!
 
naombeni mniambie nifanye mazoezi gani miguu yangu inenepe?? nimeachwa kisa cna mguu

ushaur wangu ni hiv kama unataka kubadili kitu kwenye mwili wako au maisha yako kua m binafsi kidogo na ubadilike kwa ajili yako.. yaan jibadili kwasababu unayapenda mabadiliko co kwa jili ya mtu mwingine.....

wanadam haturidhik kipenz leo hii ubadili miguu kwajil kakuache kesho mwingine atakuacha kisa kingine. ko jipende kama mwanamke na co ujipende ili mtu akupende jipende iwe sehem ya maisha yako...
 
naombeni mniambie nifanye mazoezi gani miguu yangu inenepe?? nimeachwa kisa cna mguu
Nikiweka yangu hapa utajiona Yako ww minene mno
Mie mtu akinipatia kasoro kweny mwili wangu simuachi naweza mwambia mbona ww una sura baya hadi ukipelekwa kubembeleza watoto vilizi wananyamaza kwa sabb ya uoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…