Pitia hapa kwanza

hiplip

Member
Joined
Jun 14, 2013
Posts
37
Reaction score
12
habari zenu? samahani, naomba msaada kwa yeyote anaeweza kupakua majina ya waliochaguliwa ardhi, wengine tupo vijijini na simu zetu hazina uwezo wa pdf. ASANTE
 
we unataka kujua nin zaid?jina haukuona kupitia tcu?mbna unawasiwasi mkuu?
 
niliangaliziwa na watu zaid ya wa3 wakanambia nimechaguliwa hapo, ila kuna wengne pia wamenambia kwenye list ya walochaguliwa na chuo,jina langu halipo. ndo mana nahitaji kuangalia mwenyewe nihakikishe, kwa yoyote ataekua tyr kunipa msaada kwa hili
 
Weka jina lako nikuangalizie au ndo kihere here unataka uone yote wengne hata huwajui...........xory tupia kanomino
 
Nilijua napitia kujaza mafuta! Mmh haya jamani msaada hapa unahtajika wakuu, mi ndio Monitor wa Msalaba Mwekundu.
 
Mweh..! Nyoosha maelezo mkuu mbona kuna utata kwenye hii kauli yako
Rejea kwenye post yake anataka mtu amsaidie kupakua majina ya waliochaguliwa ardhi. ndio maana nikasisitiza kuwa anataka kupakuliwa hivyo anayeweza amsaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…