B-c-dKila mtu ana chaguo lake..hebu tupia namba au herufi ya type zako kulingana na jinsia yako.
NB:USISAHAU KUTUJUZA WEWE NI YUPI PIA KATIKA HIZO HERUFI AU NAMBA.
View attachment 410883
very sorry...am single mother but am in C group.so usitunyari aiseeHahahaaaa...hao waliobaki watakuwa single mothers..na unajua single mothers JF hawapendwi.
Daah!!.....Kumbe chura unalo dear!!.....unanitamanisha jamani!!very sorry...am single mother but am in C group.so usitunyari aisee
hajajua namna single mamaz wanapaswa kuheshimika....nmemfanya mzaz mwenzangu kuwa single mama na nafaham shida apatayo ila namuombea mungu ampe wepesvery sorry...am single mother but am in C group.so usitunyari aisee
Mhhh!!!..una moyo.
Unataka kujirudi mkuu...usinisingizie mimi wakati kosa lako mwenyewe....halaf huyo mzazi mwenzio atakuwa ni C kama sikosei......ndo maana unataka kuji backup kiujanja.hajajua namna single mamaz wanapaswa kuheshimika....nmemfanya mzaz mwenzangu kuwa single mama na nafaham shida apatayo ila namuombea mungu ampe wepes
Flat screen ndio ugonjwa wangu.A karibu na flat screen.
Unataka kujirudi mkuu...usinisingizie mimi wakati kosa lako mwenyewe....halaf huyo mzazi mwenzio atakuwa ni C kama sikosei......ndo maana unataka kuji backup kiujanja.