Pitia hapa unielekeze tiba ya kifua tafadhali

Pitia hapa unielekeze tiba ya kifua tafadhali

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,557
Reaction score
1,787
Naomba msaada kwa hosptali au kituo cha afya chenye kupima na kutuo tiba ya kifua kwani nina shida ya kifua kwa miaka 4 sasa na sijapata vipimo sahihi na matibabu.

Kinatengenezea makohozi kila dakika/mucus secretion kila saa mpaka inafikia hatua nashindwa kuongea ila hakiumi.

Mwanzon nilidhani ni alergy lakini naona mabadiliko kila siku kiasi kwamba hata baadhi ya siku makoozi yanachangayika na damu, na yanakuwa sio mazito saana .
 
Mkuu umepima Tb........?

Dr Preta
 
kapime TB,JAMANI KUWENI NA CULTURE YAKUWAHI HOSPITALI 4YRS !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!U ARE STILL WATCHING THE VIDEO HAHAHAAHAHAH AISEE U ARE NOT SERIOUS OTHER WISE SEMA HUNA HELA KWA KWELI NTAKUELEWA LAKINI HOSPITAL ZA SERIKALI NI NAFUU KIDOGO
 
Unatafuta kituo cha afya au hospital, ukienda kituo cha afya utakutana na AMO tafuta hospital ufanyowe vipimo
 
kapime TB,JAMANI KUWENI NA CULTURE YAKUWAHI HOSPITALI 4YRS !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!U ARE STILL WATCHING THE VIDEO HAHAHAAHAHAH AISEE U ARE NOT SERIOUS OTHER WISE SEMA HUNA HELA KWA KWELI NTAKUELEWA LAKINI HOSPITAL ZA SERIKALI NI NAFUU KIDOGO
Sio kwamba nilikuwa kimya tuu ndugu, nilishafanya bahadhi ya vipimo lakin nahis havukuw sahihi kwan niliona kama wana lipua saana na majibu niliopewa ckupata dk aliweza kuya fafanua ki ufasaha kwan hata alieniandikia nilihis hana uwakika na majibu yake, mpaka x-ray nilisha piga ila wakasema iko sawa nayo pia nilikuwa na mashaka nayo[regency], hivyo ndio natafuta hosptal ya uhakika kwa matatizo ya kifua..soon natuchukua hatua zaid mkuu..
 
naomba msaada kwa hosptali au kituo cha afya chenye kupima na kutuo tiba ya kifua kwan nina shida ya kifua kwa miaka 4 sasa na cjapata vipimo sahihi na matibabu..
Kina tengenezea makohozi kila dakika/mucus secretion kila saa mpaka inafikia hatua na shindwa kuongea ila hakiumi.
Mwanzon nilidhani ni alergy lakin naona mabadiliko kila cku koac kwamba hata baadhi ya cku makoozi yana changayika na damu, na yanakuwa sio mazito saana .
Umepata solution mkuu tunufaike na wengine?
 
Asee daah muda umepita sana kwakweli, YES kwakweli na nshukur Mungu sana nilipona . Tena bila kutumia dawa yeyote ! Nilijagundua miaka mingi nimeteseka kumbe ni BIA ZA BARIDI ndio zilikuwa zinasabisha yote nlipo acha tuu basi nikapona 😁
 
Asee daah muda umepita sana kwakweli, YES kwakweli na nshukur Mungu sana nilipona . Tena bila kutumia dawa yeyote ! Nilijagundua miaka mingi nimeteseka kumbe ni BIA ZA BARIDI ndio zilikuwa zinasabisha yote nlipo acha tuu basi nikapona 😁
Nimekumbwa na tatizo kama lako natumia anti biotic nw mana kuna mda hadi kuongea inakuwa kipengele mana inazuia kbsa inabid uyavute uyateme.
 
Nimekumbwa na tatizo kama lako natumia anti biotic nw mana kuna mda hadi kuongea inakuwa kipengele mana inazuia kbsa inabid uyavute uyateme.
Na mimi ulivyo sema hizo bia na me nahisi ni juice ya miwa niache kunywa nione.
 
Back
Top Bottom