danizzo
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 279
- 41
Habari zenu wanajamvi! Poleni na shughuli za ujenzi wa Taifa. 6¦6 Naombeni mchango katika hiki. Tsh120000, je! Inaweza kuzalisha Tsh1500, kwa siku? Kama haiwezi tafadhali naombeni mniambie kwanini! Na hatakama inaweza naombeni mniambie kivipi! Asante kwa ushirikiano.6¦6 Nawakilisha!