Hakikisha unampompakiza mwanao kwenye baiskeli muangalie miguu isiingie kwenye spoku, utamvunja miguu.Pole sana mkuu na asante kwa kushea. Ila... unatushauri nini kwa tunaomiliki baiskeli?
Duh hatari sana hiyoBila kusahau wale watoto unakuta kaingia chini ya uvungu wa gari anacheza.
Kuna mbaba aliwahi kuua mtoto, hakujua kama kaigia chini ya uvungu anacheza.
Kawasha gari kumbe kamkanyaga kuja kuchungulia mtoto, kichwa hakieleweki na alifariki pale pale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye kiti cha nyuma cha baiskeli nitaweka majani ya miti ili kuzuia tope.Mng'ato said:Lakn pia ukiondoa madigadi jiandae kuona shati likichafuka kwa nyuma
Hii ni habari ya wenye magari sisi tunao miliki miguu yetu tutakuja kuchangia tukipewa tahadhari kama wenye magariDuhhh...
Pole sana mkuu, hakika nami nimejifunza jambo la muhimu sana hapa.
Na mwisho kabisa, naomba nikupongeze kwa kumiliki chuma hapo mjini Daslam
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaendeshaje gari bila ya kumweka mtoto kwenye car seat?Tahadhari ingine ni hii hakikisha unafunga ile child lock siku moja mtoto wangu alifungua mlango wa nyuma wakati gari linatembea ingelikua sinaangalia kioo cha pembeni kile cha dereva kijana angedondoka..na ningemkanyaga na tairi
Naona gari yako iko poa sana hasa sehemu za kwenye chases
Tembea mbali na lami kabisa, usitubughudhi na Passo zetuMimi mwenda kwamiguu
Watoto ni watundu , Huu utundu inatakiwa uendane na fimbo. Usimnyime mtoto fimbo. Mpe fimbo za kutosha mpaka ashibe. Mana Kuna mwingine nasikia kameza mia tano hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchezo wa kujificha ni mchezo wa kawaida kwa watoto wote duniani, huwezi kumlaum mzazi kwa hilo.....ni bahati mbaya tu imetokea. Tunachotakiwa ni kuwa makini tuTatizo la kudekeza watoto kama mayai kuna siku utampoteza. Wewe tabia yake ya kijinga ya kujificha unaijua sasa kwa kuwa unamdekeza amekuzoea huwezi kuchukua hatua ndiuo maana alifanya ujinga huo. Simama kama mzazi ukizoeana sana na mtoto eti unaishi kizungu sijui mom!! dad!!! matokeo ndio hayo
Inabidi shukran iende sambamba na kumpandisha cheo.Hapo wakumshukuru ni dada yao maana bila yeye parapanda ingelia
Dah! Umenikumbusha ilinitokea juzi,nilimpa dogo vitasa vya kutosha...Tahadhari ingine ni hii hakikisha unafunga ile child lock siku moja mtoto wangu alifungua mlango wa nyuma wakati gari linatembea ingelikua sinaangalia kioo cha pembeni kile cha dereva kijana angedondoka..na ningemkanyaga na tairi
Duhhh...
Pole sana mkuu, hakika nami nimejifunza jambo la muhimu sana hapa.
Na mwisho kabisa, naomba nikupongeze kwa kumiliki chuma hapo mjini Dar es Salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunapopaki tuzilaze zisije kuwaangukiaPole sana mkuu na asante kwa kushea. Ila... unatushauri nini kwa tunaomiliki baiskeli?