Car4Sale Pitia Uzi huu upate gari ya kipato chako

Toyota Ist
Yom: ,2005
Cc: 1290
Price: 11m

 
Mpyaaaaa
Toyota Runx
Year: 2002
Cc: 1490
Usb port[emoji736]

Mileage: 42,703
Leather seats
Sport rims
New tyres
Bluetooth [emoji91]

Price: 11.8m
Location: SINZA


Very clean condition
Exchange Allowed [emoji736]




 
Toyota harrier
Old model
Cc 2360
4cylinder

 
Toyota alteza
Engine ndogo
Bei: 3.8m
 
Toyota Ist
Cc 1290
Year: 2005
Vvti engine
Price: 9.8m

 
Toyota Ist
Yom: 2005
Engine 2nz vvti
Good conditions

 

Attachments

  • 1634739868649.jpg
    66.8 KB · Views: 14
Gari zote ni seconds hand hapa Tanzania.
(Zinatumika/zimetumika hapa tz)
Bora mtu ajichange na kuzama show room au kuagiza. Zilizotumika/zinazotumika hapa bongo hazifai hata kwa kulumangia. Nyingi zimepigwa rangi ili kufanikisha danganya toto.
 
Boss hizi gari zote unatoa Japan moja kwa moja na kuziuza hapa au nyingine unazitoa hapa hapa?

Zote mileage ni 64000km au chini, zaidi ni low mileage. Ni kweli?
Swali zuri sana kwani wale mbumbumbuu wa magari wanaumizwa haswa.
 
Bora mtu ajichange na kuzama show room au kuagiza. Zilizotumika/zinazotumika hapa bongo hazifai hata kwa kulumangia. Nyingi zimepigwa rangi ili kufanikisha danganya toto.
Mkuu maamuzi ni yako tu na uwezo wako pia.
Gari kupigwa rangi au kutumika sio kwamba ndio hazifai.
E.g wew ukiagiza Gari kutoka Japan na ukaitumia kwa muda flani, then ukataka kuiuza.
Je ina maana haitafaa kumuuzia mtu mwingine??
 
2006year, Engine ndogo 12.5ml
Alphard kali sana
Mwaka 2006
Cc 2360
Full ac
Full Documents

 
Rav4 L
CC 1990
YEAR: 2003

 

Attachments

  • IMG-20211020-WA0027.jpg
    66.1 KB · Views: 15
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…