Thaconfession
JF-Expert Member
- Jun 16, 2021
- 301
- 590
Mkuu tumeshaanza namba EAA, hii hapa 4.5M chap chap, tumalize biashara!Chap chap
Toyota vitz
Old model
6m chaaap
View attachment 2052823View attachment 2052829View attachment 2052830View attachment 2052831View attachment 2052832
Hiyo namba E imesajili nchi gani?Mkuu tumeshaanza namba EAA, hii hapa 4.5M chap chap, tumalize biashara!
Unabisha au???Hiyo namba E imesajili nchi gani?
Au na wewe unashikiwa masikio japokuwa upo town?
Bado unabishaaaa?Hiyo namba E imesajili nchi gani?
Au na wewe unashikiwa masikio japokuwa upo town?
Fake hiyo.Bado unabishaaaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2053493
Sawa mkuu, lakini usisahau kuna DX...DY...Kwa hiyo EA haiwezi kuwa mbali, kwa hiyo kuwa na gari namba B,C zinakuwa out of date hata kama ipo kwenye hali nzuri, lakini inakuwa imezeeka tu!Fake hiyo.
Wenzio tuna acccess na system ya TRA.
Tatizo lako haujibu comments/maswali ya wadau
Kiongozi gari ipo wapi hii namba hujawekaToyota IST
Cc 1490
Yom : 2004
Bei 8m
View attachment 2059235View attachment 2059236View attachment 2059237
Tuma picha za interiorHarrier old model
no DMZ
Engine ni VVTI
Year 2002
Cc 2360
Haina changamoto yoyote
Haijawahi rudiwa rangi
Bei 14.5M
View attachment 2060467
Hizi zinapatikana wapi ??Toyota IST
Zipo 3
zilikua uber
Madereva wamezingua dada kachukua gari zake
Dada anauza 9m tu.
zote ni namba DS
Wahi chap
View attachment 2055034View attachment 2055035View attachment 2055036
Kuanzia 4.5m+ kulingana na Hali ya gari yenyewe
Kwa hapa sina mzee.. Ila ukiwa tayari we nicheki tu kwenye hizo namba zangu hakuna shida.
Gari zipo.
Mzee naweka Offer ya 10m.IST NEW MODEL
YEAR 2009
CC 1490
NDANI FULL LEATHER SEATS
RIM KALI
BIE 12.9M
View attachment 2075603View attachment 2075605
Kwa Tanzania inawezekana sana B ikawa mpya na D ikawa ya zamaniSawa mkuu, lakini usisahau kuna DX...DY...Kwa hiyo EA haiwezi kuwa mbali, kwa hiyo kuwa na gari namba B,C zinakuwa out of date hata kama ipo kwenye hali nzuri, lakini inakuwa imezeeka tu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa janja janja ya raia wachache wahuni wahuni...Kwa Tanzania inawezekana sana B ikawa mpya na D ikawa ya zamani
Mark my words
Anahitaji mtaalanu wa kumwekea vizuriGari nzuri na sasa wametoa model mpya nyingine nayo ni hatari,
Bei Nzuri pia.! ,
Mbona una acha space kubwa kati ua txt na picha kwenye post zako?
Mkuu @kwadilo nipatie Land rover TDI, pick-up, dieselV8 Land Cruiser
Fuel ni Diesel
Year 2009
Manual transmission
Price 60m only
View attachment 2080813View attachment 2080814
Umeipenda ipi?Okay Karibu Mkuu.
Shukran Mkuu🙏OK poa mkuu, nitakucheki pm ikiwa available.