Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ni kwa sababu ya mwenendo mbaya wa timu yake kwenye ligi ya mabingwa, Al Ahly hivi sasa haina tofauti na Mbeya City, ule uwezo wake wa kutandaza soka umepeperuka utadhani njiwa wa uganga.
Kwa kadri ninavyowafahamu Waarabu akishindwa kutinga nusu fainali ya ligi ya mabingwa atatimuliwa bila huruma.