Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
๐๐๐๐Yanga, dodo hilo limeangukia kwenye mchi wa kutwangia
Labda wamkope, mishahara mil 48 tu wamelipa kwa shinikizo wataweza ya Pitso Mosimane unawatakia lawama bure wenzio wasije wakauza jengo na kumuweka Mwakalebela bond ili wamlipe PitsoYanga, dodo hilo limeangukia kwenye mchi wa kutwangia
Hana lolote ![emoji1]alikuja Bongo kwa mbwembwe kweli. Mara ajibu waandishi juu juu...mara akague uwanja siku 3 kabla ya mechi. Kikowapi
Mna uwezo wa kumlipa, kama Tambwe kasumbua tu huyo mwingine je?Yanga, dodo hilo limeangukia kwenye mchi wa kutwangia
Hili likitokea basi Wachezaji watakua wamefanikiwa kutimiza azma yao. Wale hawataki kuongozwa na yule Msouth ndio maana wanacheza chini ya kiwango ili jamaa aonekane hafai.Hii ni kwa sababu ya mwenendo mbaya wa timu yake kwenye ligi ya mabingwa , Al Ahly hivi sasa haina tofauti na Mbeya City , ule uwezo wake wa kutandaza soka umepeperuka utadhani njiwa wa uganga .
Kwa kadri ninavyowafahamu Waarabu akishindwa kutinga nusu fainali ya ligi ya mabingwa atatimuliwa bila huruma .
Kabla ya mechi alisema hali ya hewa haiwezi kua excuse ya kufungwa, baada ya mechi akaanza kulalamika kuhusu weather.[emoji1]alikuja Bongo kwa mbwembwe kweli. Mara ajibu waandishi juu juu...mara akague uwanja siku 3 kabla ya mechi. Kikowapi
Uwezo wao umeishia hapo! Kama uwezo wa Utopolo ulivyofikia mwishoni! Hata ukiwaletea Gurdiola hamna kitu! Hali kadhalika uwezo wa wachezaji wa Al Ahly umefikia kikomo!! Kama wakitaka kumtumia vizuri huyu kocha, wampe nafasi ya kutafuta wachezaji ambao anataka wasajiliweInawezekana kuna hujuma anafanyiwa na wachezaji. Pengine hawamtaki hawaoni kama ana lolote jipya kwao. So wanahitaji kochwa wa juu zaidi. Ile ni club tajiri.
Ni kama Yanga tu. Hawajui soka lina matokeo ya aina tatu.Waarabu wanataka timu ishinde tu
Nyie mnajua mngefungwa game Kama za yanga no angetikisa kiberitiNi kama Yanga tu. Hawajui soka lina matokeo ya aina tatu.
Ha ha ha haaIla Bongo raha sana wachambuzi wetu wanatafsiri kiingereza kwa kutumia dictionary na sio context. Juzi kocha Gomez kuhusu Morrison kutoenda Sudan kocha anasema "Simba Club is like a family" mwandishi akauliza kwa nini Morrison hakuenda, kocha akajibu "It's a family matter". Kitenge kashikilia bango ni suala la kifamilia ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
๐ ๐Kitenge kiingereza kwake mzozo...Ila Bongo raha sana wachambuzi wetu wanatafsiri kiingereza kwa kutumia dictionary na sio context. Juzi kocha Gomez kuhusu Morrison kutoenda Sudan kocha anasema "Simba Club is like a family" mwandishi akauliza kwa nini Morrison hakuenda, kocha akajibu "It's a family matter". Kitenge kashikilia bango ni suala la kifamilia ๐ฎ๐ฎ๐ฎ