Pius Msekwa: Mbunge akifukuzwa uanachama na chama chake hawezi kuwa mbunge kwa namna yoyote ile

Huo ndio ukweli
 
Toka zamani ilikuwa hivyo kabla ya utatu mchafu utatu wa vyura ule wa Spaka, Jaja na mtoto wa chatu
 
Supika angemsikilia huyu mzee kwenye kipindi tv ya ITV, angepata japo mawili yangemsaidia, hasa kuhusu G55, mgogoro na utatuzi wake ambao Bunge lilibaki na heshima Pius Msekwa akabaki akiwa na busara na hekima! Ni mfano acha kuendeshwa!
Ashakuwa shetani yule wala hashtuki tena. Hana Dhamiri kwenye nafai yale imekufa
 
Upo wakati Ndugai atasota mahakamani kama Sabaya.
 
Wadau nawasalimu.

Hakina inasikitisha sana kuona baadhi ya viongozi wetu walio apa kuilinda na kuisimamia katiba yetu wapo kimya huku katiba ikivunjwa kwa makusudi.

Naomba kuwauliza wahusika,kwa mujibu wa katiba iliopo mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania ni lazima atokane na chama cha siasa.

Lakini leo hii ndani ya bunge hilo kuna wabunge 19 wasio na chama lakini waliaapishwa kuwa wabunge wa viti maalum tena baada ya chama chao cha chadema kuwafukuza uanachama.

Wabunge hao 19 wamekuwa wakilipwa posho na mishahara ambayo ni kodi za masikini wanyonge wa taifa hili

Je, wapo wabunge hao 19 wapo bungeni kwa katiba ipi?

Baadhi ya maspika wastaafu wamediriki kusema wabunge hao hawa sifa ya kuwa wabunge kwa mujibu wa katiba iliyopo

Tunawaona wahusika waheshimu katiba kama walivyoapa kuilinda.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…