PJ still unreachable

TIMING

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2008
Posts
28,186
Reaction score
15,549
wadau, naona huyu jamaa sasa anahitaji serious search au tumweke kwenye lost people

Arusha is not the same without him
 
wadau, naona huyu jamaa sasa anahitaji serious search au tumweke kwenye lost people

Arusha is not the same without him
HAHAHAHA!
kaka nilikwambia upitie kwa stella hapo kuna bia zangu kadhaa

enewei mi naenda chemba leo kuzindua salario yangu,wadau watakuwepo?

piijei ameenda kuvuna viazi vitamu uwanji-hakuna mtandao
 
garma mpandie hewani anakusubiri saa hii
 
PJ missing in action( MIA) au absent without leave ( AWOL) ?
 
Teamo Has Changed.

absolutely...big change
 
halafu wee dada mpe kampani huyo mtu......
paroko huyo,HEHEHEHEHE:drum:

he he he...na akuje sasa...nimeshamaliza kutega mitego ya kukamata ndezi
 
yani thanks teamo preta na wadau... Sasa hata aijui nifanyenje! Wp hiyo kwa huyo galaxy?
 
nimpe namba zako akupigie?
.

halafu wewe...kwanzia leo mimi naitwa tequiero,ngoja nirekebishe mambo....ha ha ha...teamo bana.......
usijali ngoja niPM mwenyewe nimpe
 
.

halafu wewe...kwanzia leo mimi naitwa tequiero,ngoja nirekebishe mambo....ha ha ha...teamo bana.......
usijali ngoja niPM mwenyewe nimpe
hahahaha!haya mamaa tequiero
 
HAHAHAHA!
kaka nilikwambia upitie kwa stella hapo kuna bia zangu kadhaa

enewei mi naenda chemba leo kuzindua salario yangu,wadau watakuwepo?

piijei ameenda kuvuna viazi vitamu uwanji-hakuna mtandao

nshatoka sasa hebu nielekeze kwa stella
 
nshatoka sasa hebu nielekeze kwa stella
hahaha!kwa stella ni pale pale eapoti sasa wameshafunga.....!totoooz la kisukuma lile ,dah!enewei,kwa sasa nenda galaxy ukapambane na wazungu
 
pj maana yake nini maana nimemsikia jamaa mmoja anatamka pj ikiwa na maana ya pamoja..............hebu kama una nia nzuri eleza kwa ufasaha ili kila anayefungua thread yako aelewe maana ya kile unachokiandika.....................TUSICHOSHANE
wadau, naona huyu jamaa sasa anahitaji serious search au tumweke kwenye lost people

Arusha is not the same without him
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…