pj maana yake nini maana nimemsikia jamaa mmoja anatamka pj ikiwa na maana ya pamoja..............hebu kama una nia nzuri eleza kwa ufasaha ili kila anayefungua thread yako aelewe maana ya kile unachokiandika.....................TUSICHOSHANE
pj maana yake nini maana nimemsikia jamaa mmoja anatamka pj ikiwa na maana ya pamoja..............hebu kama una nia nzuri eleza kwa ufasaha ili kila anayefungua thread yako aelewe maana ya kile unachokiandika.....................TUSICHOSHANE
Thanks shem... Arusha is really good
PJ ni Paka Jimmy...kingine?
Miss you so Much..jamani umepotea na Pearl+!!!PakaJimmy umepotea sana kwa nini umeondoka bila kuaga jamani ??
wadau, naona huyu jamaa sasa anahitaji serious search au tumweke kwenye lost people
Arusha is not the same without him
Nakubaliana na wewe kabisa De Novo, Arusha hapakaliki pasipo uwepo wa PakaJimmy. Ni mtu mmoja mcheshi sana huyu broda na mwenye kujua nini maana ya utu.Arusha is not the same without him
PJ yuko likizo, Mbeya Vijijini... huko hakuna Network mpaka apande juu ya mti... hakuna TV... Radio labda ya Bendi 2 ikitegeshwa maeneo fulani network inakamata...
Lakini atakuwepo Diamond kwenye Makhirikhiri this coming Weekend!!
Nakubaliana na wewe kabisa De Novo, Arusha hapakaliki pasipo uwepo wa PakaJimmy. Ni mtu mmoja mcheshi sana huyu broda na mwenye kujua nini maana ya utu.
Lakini huyu jamaa kaenda wapi wajameni. Please come out bra PJ
kaka vipi?hohoooo mkuu
you can say that again, and again
baadhi hatuelewi power ya hizi networks
but they are really helpful na entertaining
we are swimming in a polluted environment
spoil by our own deeds and greed
degraded by our own conduct and needs
yet we need to find time, to add just one more friend
just one more friend everyday makes us better
makes us see the other side of the world
cute faces and nice people, intelligent and loving
THATS WHY WE LOOK FOR FRIENDS, ESPECIALLY WHEN THEY ARE NOT ONLINE
CHEETS
kaka vipi?
INFIDELITY .....?!fresh?au?:behindsofa: